Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kuna kiungo kama Dejong Argentina?

Kua beki kama vin djik,Delight , na Ake?

Labda Argentina front three ila kwingine mido wa Brighton ampoteze dejong never

Why uholanz kwa Ecuador usione ni game approach?
Unapozungumzia Argentina katikati wana watu kama Paredes ,De paul ,Mac allister rodriguez na enzo fernandez ,kiungo pekee anaenza kikosi cha kwanza cha Argentina ni De jong tu ,the rest are averages.Na mind you Argentina wanatumia viungo watatu, in Midfield battle Uholanzi wata struggle kwa sababu ya messi kushuka chini na kuwa na viungo wa nne (diamond).Uholanzi wana team nzuri lakin sio ya kuisumbua Argentina.
 
Game ya Spain ilikuwa fixed.

Lengo tu akutane na Morocco amchabange atoke
Morocco hajafika hapo alipo kwa kubebwa lolote katika mpira linatokeo unaweza kwenda kwa kuamini utamchabanga baada ya dakika 90 ukachabangwa wewe. Yujipe muda
 
Namskiliza Asamoah Gyan hapa.. Anaongelea ile miss penalty ya 2010 asee kapitia meng sana tangu akose iyo penalty.

Ukimuangalia anavoongea tu unajua bd inamuuma sana sema ndo ivo ni tuta na haikua bahat yao.
 
Hii ni dharau kwa Ghana
 

Attachments

  • Picture1.png
    35.2 KB · Views: 4
Tunaendelea na count down ya kombe la dunia makala ya 22 ya kombe dunia toka la dunia kwa upande wa wanaume lianze kuchezwa kuanzia mwaka 1930


Hizi ni nchi zilizowahi kutwaa kombe la dunia

Agentina *2


Italy *4

Ujerumani *4

Uruguay *2


Uingereza *1

Uruguay *2

Brazil *5



Ufaransa *2

Ni mabara mawili tu ulaya na amerika kusini ndio wanamiliki kombe la dunia


Mabara yaliyobaki yote hayajawi kuvuka robo fainali ikiwemo africa

Ila awamu hii africa imejitutumua kuingiza timu mbili kwenye hatua ya mtoano maarfu km kumi na sita bora ambazo ni senegal na Morocco akiongoza kundi kwa mara kwanza ktk historia

Usiku wa leo na kesho pia Ghana km atamgaragaza uruguay naye ataungana na senegal na Morocco na kuweka history kwa mara ya kwanza

Ndugu wengine wa africa cameroon hawapewi nafasi kutokana na kuwa inakutana na majogoo wa mpira duniani wote tunakuja sio kazi rahisi kuifunga brazil hata kile kikosi ambacho hakijaorodheshwa kwenye kombe la dunia

Maombi ya wanasoka africa ni kuwa

Ureno atandikwe na wakorea na ghana imtandike uruguay

Ili ghana kimahesabu imkwepe brazil hatua ya mtoano ikutane na switzerland,serbia ama cameroon

Kila la heri Ghana
Kila la heri korea rupublic

Na inawezekana usiku wa leo Ghana
 
Hayo bado ni matamanio yako ila kikosi cha uruguay ni bora kuliko timu yetu ya ghana

Ghana wakitaka matokeo uwanjani wamiliki mpira kwa asilimia 65 hadi sabin
Valvede na nunez ni watu wa kuchungwa

Kwenye mechi mbili mchezaji wa ghana aliyeparform ni Mohammed kudus ila tatizo lake dkk ya sabini anakuwa amechoka
Uruguay anakufa mchana kweupe
Mark this tweet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…