vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Kikosi cha leo cha Uruguay sioni Ghana akipata hata sare
Uruguay wa kawaidaHatakama ni uzalendo aisee ghana hata droo hapati tuacheni kujipa matumaini ambayo hayawezekani
Mkuu hata Ghana hawatishiUruguay wa kawaida
japo tukubali timu za waafrica ugonjwa wao huwa ni ule ule wa kufunga goli moja na kupaki basi [emoji3575]
Na ndo maana leo kapangwa, kwa sbb ana Tabia za kukera na lzm awalete noma ajiangushe au afanye usanii wowote ule ili wapanic.Nadhani ujanja ni get under Ghana's nerves ili waanze kufanya makosa kwa hasira na kujinyakulia kadi
View attachment 2433644
Nadhani ujanja ni get under Ghana's nerves ili waanze kufanya makosa kwa hasira na kujinyakulia kadi
View attachment 2433644
Humu mtu akila Ban unadhani anakaa kwenye Ban huenda ndio ukawa wewe umerudi kuendeleza libeneke.....
Kwa iyo kumbe suarez anachukiwa kwa sababu alidaka mpira[emoji23]
Sasa kama alipewa adhabu na waafrika bado wakapewa penalt wakakosa shida iko wapi
Kwa iyo kumbe suarez anachukiwa kwa sababu alidaka mpira[emoji23]
Sasa kama alipewa adhabu na waafrika bado wakapewa penalt wakakosa shida iko wapi
Sa izo si ni mbinu za uchezaji mkuu huoni kama iliwasaidia waoAsingedaka huo mpira angeacha tu mpira ujae nyavuni tuingie kwenye semi final