Anatafuniwa halafu anashindwa kumeza.Huyu Martinez kucheza kwake sambamba na Lukaku pale Inter Milan ni tatizo...ona sasa anavyokosa nafasi
Robo fainali ya mchongo 🤣..😂😂😂..hawa kina Messi tuende nao kule robo fainali tuendeleze spana mwanzo mwisho... Au sio?
Carleen
Yaani Lukaku ndiye kamuambukiza nuksi ?...kashfa hiiHuyu Martinez kucheza kwake sambamba na Lukaku pale Inter Milan ni tatizo...ona sasa anavyokosa nafasi
Hatari Gani wakati Ufaransa tuna uhakika wa kombe😁Hizi ni nyakati za mashaka kwa haters wa Messi
Yaani sijui linataka nini!!Yaaani goli la tatu linagoma kabisa jamani
Hii hii ufaransa ya kupigwa na Tunisia?Hatari Gani wakati Ufaransa tuna uhakika wa kombe😁
Huyo jamaa mwacheni ajitengue awezavyo ila kombe lililopo hapo Qatar wataishia kulichungulia hapohapo.
HakikaMessi is a motherfuker....football magician
Sisi ndo wenye kombeHii hii ufaransa ya kupigwa na Tunisia?
Hahahaha hii timu ni msiba wa kichina
Hujui hata uliaje