Ni kinyume na taratibu za dini ya kiislamHehehee wanaogopa watu watatamanishana vifua au 🤭
Mwamba katishaHahahahaha wakati Greatest Of All Time unauliza kuhusu mashabiki kuvua shati
Kuna shabiki kaonekana jukwaani kavua shati halafu amevaa karatasi lililochorwa ramani ya England
So mchizi kawaweka mataa serikali ya Qatar haeleweki ana shati au hana shati
Nimeona isiwe tabu, nacheki zang game kupitia dstv now
Nacheki kupitia simuThrough simu au umeme umerudi? Wanawaonea sana huko kwenu. Mie huku pembezoni mwa Tanzania a.k.a mwisho wa nchi tunapeta tuu
Wape tahadhari mapemaWale mnaoishangilia Iran msikatishwe tamaa na vitu vidogo kumbukeni maajabu kwenye soka hayajawahi kuisha
Ila msiingie kwenye mtego wa kuweka pesa kuibetia