Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,881
Nakumbuka mwaka 2002 Saudi Arabia alikula goli 8 kutoka kwa MjerumaniHaya zimebaki 5 na ukicheli muda upo wakutosha
Ndo hii walienda na waganga wa kila sehem [emoji23].. Walichokutana nacho walijua kbs mpr ni science ya ufund Yan TacticsZaire ya Mobutu Seseseko Kuku Bendu Wazabanga ilashawahi kupigwa 9-0 World Cup ya mwaka 1974 pale Ujerumani Magharibi
sterling ana kiwashaga sana akiwa England
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo hii walienda na waganga wa kila sehem [emoji23].. Walichokutana nacho walijua kbs mpr ni science ya ufund Yan Tactics
Sa si wangesema tuwape misuliHawa Iran kama vile hawajazoea kuvaa bukta
Basi kesho mkuu atajua hajuiSaud arabi kufungwa amezoea amewahi kupigwa 8 na mkoloni