Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 190
Wana JF hebu someni nukuu ya sehemu ya ari ya Kocha wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast;
Alisema,"Tumefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski na tunahisi tumeishafika juu ya mlima Kilimanjaro, tukirudi na kombe tutapanda nalo katika mlima huu mrefu barani Afrika na lazima nirudi na kombe kwa sababu Rais Laurent Gbagbo wa Ivory Coast amenitaka nirudi na kombe"
Maximo hana ari ya aina hii, sasa sijui JK huwa hampi majukumu kama alivyofanya Gbagbo!
Alisema,"Tumefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski na tunahisi tumeishafika juu ya mlima Kilimanjaro, tukirudi na kombe tutapanda nalo katika mlima huu mrefu barani Afrika na lazima nirudi na kombe kwa sababu Rais Laurent Gbagbo wa Ivory Coast amenitaka nirudi na kombe"
Maximo hana ari ya aina hii, sasa sijui JK huwa hampi majukumu kama alivyofanya Gbagbo!