tutasikia matukio ya kutisha huko MWADUI
Katika yote haya, blunder baada blunder, plunder baada ya plunder, haya sisi wananchi tuchukue hatua gani? It is easy to create a problem, can we also create solutions? samahani hii hoja yangu inajirudia mara kwa mara kwa sababu nami nahangaika kutafuta majibu. Kila nikitaka ku-create solution najikuta nime-create problem!
Je, tuandamane tukawafukuze hawa jamaa kwenye migodi yetu, yaani tufanye beyond these complains-all parts of my body are trembling!
Ngumu zaidi:
- Ni kuweza kuwashawishi wabunge wa chama tawala kufanya hilo hapo juu na kwenda kinyume na Rais au kinyume na chama chao.
Mzee Kitila mambo ya kufanya wala siyo makubwa kama watu wanavyofikiria.
Binafsi naamini kuna njia kubwa mbili. Ya kwanza ni ngumu inayowezekana na ya pili ni ngumu zaidi iliyo nje ya vitu vinavyowezekana kwa sasa.
Ngumu inayowezekana:
- Kuhakikisha kuwa Bunge la Tanzania linaondolowa wingi wa wabunge wa CCM na hivyo kulifanya liwe na nguvu kidogo ambapo mijadala yote itahitaji compromise na accomodation. Na bunge bilo ambalo litakuwa la chama tofauti na kile anachotoka Rais litalazimisha kutungwa sheria za usimamizi na ulinzi; litatengeneza checks and balances na kumtumia Rais miswada hiyo ili aikubali.
-
Nashangaa wabunge wako Dodoma lakini wanachokifanya hakijulikani, yaani wapo pale kwa ajili ya allowance tu na hawajishughulishi na matatizo ya wananchi. Hii ni hatari kubwa wataamka siku moja na kujikuta wako Keko.
mzee, kama watu wako serious tuzungumze tuwaanzishie kampeni fulani fulani... wengine mambo haya ya kampeni ndiyo kazi zetu...