Armed robbers raid Mwadui diamond


..mimi sitasema!
 
Mtu aliyewahi kuishi Mwadui anasema, "Haiwezekani hata kidogo kwa mtu wa nje kuingia Mwadui... kwanza kuna mageti kibao, pili kuna camera kila kona, tatu ulinzi ni mkali 24x7.

Watu walikua wakiiba almasi kwa kutumia mishale na kombeo kurusha nje ambako jamaa zao husubiria, lakini si kuvuka viunzi na mageti
 
Kitila/Mwanakijiji
Kwa sasa the best way ni chama tawala kipasuke, au kiwe na mgawanyo mzuri na wengine wabaki CCM wengine wakajiunge na moja kati ya vyama makini vya upinzani. Kuanzia hapo ndio na sisi wengine tunaweza kuwa na imani na Party politics, sasa hivi vyama vingine badi havina nguvu kubwa ya kuweza kuleta mabadiliko, na ukiangalia resources ilizo nazo CCM kwa sasa(polisi, jeshi, usalama, bunge na watu wengi wasio na elimu ambao ni rahisi kuwazuga) si rahisi kuwa na true change itakayoleta manufaa makubwa. Sasa hivi Slaa na timu yake wameonesha mwanzo mzuri lakini sasa hivi inaonekana mbinu zimeanza za kuwamaliza.
 

Thank you so much my dear. I have the same opinion just like you.
 

Next time you will see more independent candidates, who would fight for the country rather than bickering on political parties. I can't tell you what I'll do but stay tuned.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…