DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 551
I wish walioiba wawe ni waTz waliochoka kuibiwa na hao makaburu. atleast wataenda kujiliwaza wao na familia zao za KITANZANIA.Kuna wakati ule mgodi wa buhemba kuliibiwa gold 90kgs, wezi walijulikana na hata polisi waliwajua lakini hadi leo hawajakamatwa. why. because watu wamechoka kunyanyaswa na wageni wanaofaidi raslimali zetu huku wao wanaishi maisha magumu. so its better waibiwe as long as watakaofaidi ni wanyonge na pesa zitabaki nchini. Thats what I think.
I wish walioiba wawe ni waTz waliochoka kuibiwa na hao makaburu. atleast wataenda kujiliwaza wao na familia zao za KITANZANIA.Kuna wakati ule mgodi wa buhemba kuliibiwa gold 90kgs, wezi walijulikana na hata polisi waliwajua lakini hadi leo hawajakamatwa. why. because watu wamechoka kunyanyaswa na wageni wanaofaidi raslimali zetu huku wao wanaishi maisha magumu. so its better waibiwe as long as watakaofaidi ni wanyonge na pesa zitabaki nchini. Thats what I think.
Ndio sasa tunasema, ok, inawezekana hao wana matatizo kweli je, sisi tutashirikije kuhakikisha kwamba tunakuwa na bunge zuri? Je, inawezekana kuna wenzetu watanzania tunaowajua na tunafikiri wana uwezo na tunaweza kuwashawishi na kuwawezesha wagombee? Hii sasa ndio issue. In other words, what we are saying is that,yes, we may not be part of the problem, but can we be part of the solution?
I can't tell you what I'll do but stay tuned.