Mke wake mbona mkubwa tuu. Miaka 55
Kibunango kwaniniHii thread imeingiaje kwenye ukumbi huu?
Hapo ndiyo nashindwa kuelewa ndoa maana inakuwaje watu wanaishi miaka 20+ halafu wanakuja kuachana?
Hata sijui lipi lililowashinda kuvumiliana uzeeni ikiwa ujanani waliweza kuvumiliana,
hakika binadamu hatueleweki.......
Leo mnaelewana/kusikilizana vzr, lakin kesho hata usuluhishi haM utamki kuuelewa....
KWANGU MIMI NI BORA KUACHANA UJANANI, LAKINI
SIPENDI WALA SITAKI KUACHANA UZEENI, NAOMBA USIKU NA MCHANA BORA NISIPENDWE UJANANI LAKINI NIKAPENDWA UZEENI....BORA STRESS ZA UJANANI KULIKO STRESS ZA UZEENI.
Hio statement yao imenishangaza kama sio kunifurahisha wametangaza wameachana halafu still wanasema they are working on the future of their relationship, najiuliza sasa which relationship?? au relationship ya wao na watoto wao
Hii thread imeingiaje kwenye ukumbi huu?
Hata sijui lipi lililowashinda kuvumiliana uzeeni ikiwa ujanani waliweza kuvumiliana,
hakika binadamu hatueleweki.......
Leo mnaelewana/kusikilizana vzr, lakin kesho hata usuluhishi haM utamki kuuelewa....
KWANGU MIMI NI BORA KUACHANA UJANANI, LAKINI
SIPENDI WALA SITAKI KUACHANA UZEENI, NAOMBA USIKU NA MCHANA BORA NISIPENDWE UJANANI LAKINI NIKAPENDWA UZEENI....BORA STRESS ZA UJANANI KULIKO STRESS ZA UZEENI.
Hata sijui lipi lililowashinda kuvumiliana uzeeni ikiwa ujanani waliweza kuvumiliana,
hakika binadamu hatueleweki.......
Leo mnaelewana/kusikilizana vzr, lakin kesho hata usuluhishi haM utamki kuuelewa....
KWANGU MIMI NI BORA KUACHANA UJANANI, LAKINI
SIPENDI WALA SITAKI KUACHANA UZEENI, NAOMBA USIKU NA MCHANA BORA NISIPENDWE UJANANI LAKINI NIKAPENDWA UZEENI....BORA STRESS ZA UJANANI KULIKO STRESS ZA UZEENI.
kabisa kabisa mie nikifikisha 40+ habanduki mtu tena...
Hahahahakabisa kabisa mie nikifikisha 40+ habanduki mtu tena...
Ni kweli Asha juzi nilikuwa nasoma jamaa fulani LA wame-unite tena na kufunga ndoa wakiwa na miaka 75 mwingine ana 80 baada ya kuwa wameachana miaka sijui kumi iliyopita sounds absurd to meKuwa mvumilivu.. Baada ya mwaka kama si miezi utasikia kapata kimada ukiangalia utakuta ni the ex wife....
kabisa kabisa mie nikifikisha 40+ habanduki mtu tena...