Arsenal hatoshinda taji lolote kwa mismu huj wa 2024/25

Arsenal hatoshinda taji lolote kwa mismu huj wa 2024/25

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kwenye ligi Arsenal kashaachwa alama 15 na vinara Liverpool.

Kwenye Uefa wapo hatua ya 16 bora huku wakiwa na uongozi wa magoli 7 katika mchezo wa kwanza.

Naambiwa akivuka hapo atakutana na mshindi wa Real Madrid Vs Atletico Madrid.

Kwa tafsiri ndogo, Arsenal hatoboi hapo robo fainali. Ndio itakuwa mwisho wa safari yake.

Carabao na FA Cup walishatoka siku nyingi sana, hawa jamaa hawatobeba taji lolote. Sijui wanakwama wapi?
IMG_5678.jpeg
 
Nina uhakika hayo maneno hajasema bwana Patrice 🤣🤣🤣🤣
 
Yaani arsenal mentality Yao ndo inawaangusha, hawana personality yoyote ile. Ni kama vile hawana malengo kabisa. Timu kama Chelsea, United wakiwa na timu nzuri wanaweza kuwahi kuchukua makombe kuliko Arsenal ambaye amekuwa kama Mwana wa Israel alietanga jangwani karibu miaka arobaini.
 
Hili Lipo Wazi, Kitendo Cha Wao Kutosajili Striker Wa Maana January Ilikuwa dalili Tosha Kuwa Hawapo Serious Na Ubingwa Wowote.
 
Back
Top Bottom