samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Timu ya arsenal imetimia miaka sita (misimu sita) bila kuchukua kikombe chochote. Kwa takriba misimu minne iliyopita timu hiyo imekuwa ikianza na kasi ya ajabu na kuonesha dalili ya kuchukua ubingwa lakini wamekuwa wakichemsha katika mechi za mwishoni kiasi cha kutungiwa jina la utani kuwa arsn ni baskeli ya miti. Sasa ni wakati wa arsenal kujivua gamba ili izaliwe upya na kuanza upya msimu ujao baada ya leo kupoteza rasmi muelekeo.