Arsenal imeanza vizuri ila Spurs top four anakaa

Arsenal imeanza vizuri ila Spurs top four anakaa

United ya Ferguson

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
3,132
Reaction score
6,353
Tangu conte atue spurs kaenda kubadilisha sana Ile timu mim nlibatika kuangalia michezo mingi sana ya spurs msimu uliomaliza hasa game za mzunguko wa pili livepoor anakumbuka alichofanyiwa pale aniflied city anakumbuka kilichotokea pale Etihad conte sio arteta.

Conte ana uzoefu mkubwa kuliko Arteta kashinda ligi kuu england na Chelsea akiwa kocha mkuu pia kamnyanganya nafasi ya nne msimu ulopita jamaa alikuja na vijana wawili kutoka juve Rodrigo bentacur na Kulusevski awaa jamaa walienda kufanya spurs iwe Bora na kuimalika

Msimu huu Sasa Conte kashusha vijana wengine kina Ivan persic, Richardson, Bissouma n.k nyinyi Arsenal embu mtwambie pale top four mnamtoa nani Chelsea au maana spurs top four ANAKAA kam hamuamin msubiri mziki wa conte muone balaa lake

Tumewape taarifa mapema kabisa conte Top four ANAKAA nyiny mnakaa nafasi ya nani pale top four
 
Naona mshaanza kujipa unabii mapema,okay si tunacho furahi timu yetu imepata point 3 (najua umeumia Arsenal kushinda),ila tunacho furahi zaidi CAPTAIN MAGUIRE bado yupo yupo sana kuliongoza jozi na kama kawaida Maguire akicheza majirani tuna furahi.
 
Hongera The Gunners kwakuchukua point 3 za mapema
 
Walivyopelekewa moto walifungwa ngapi mkuu
Arsenal haijaanza vzuri wamepelekewa moto sana Umeangalia game kwel?? Goli la kwanza kwa msaada wa kona goli la pili Own goal na possession,Shots C.palace kaongoza zote pass,drible,dangerous attack zote
 
Arsenal haijaanza vzuri wamepelekewa moto sana Umeangalia game kwel?? Goli la kwanza kwa msaada wa kona goli la pili Own goal na possession,Shots C.palace kaongoza zote pass,drible,dangerous attack zote
Mim kufanikiwa kupata point tatu wew unazungumzia umiliki.wa mpira
 
Naona mshaanza kujipa unabii mapema,okay si tunacho furahi timu yetu imepata point 3 (najua umeumia Arsenal kushinda),ila tunacho furahi zaidi CAPTAIN MAGUIRE bado yupo yupo sana kuliongoza jozi na kama kawaida Maguire akicheza majirani tuna furahi.
Hakuna Cha unabii spurs anakaa top four hamumuwezi last season kawanyanganya nafasi ya nne kinguvu msimu huu Sasa mtakoma sahua kama city,live,na Chelsea atakosa top four
 
Tangu conte atue spurs kaenda kubadilisha sana Ile timu mim nlibatika kuangalia michezo mingi sana ya spurs msimu uliomaliza hasa game za mzunguko wa pili livepoor anakumbuka alichofanyiwa pale aniflied city anakumbuka kilichotokea pale Etihad conte sio arteta.

Conte ana uzoefu mkubwa kuliko Arteta kashinda ligi kuu england na Chelsea akiwa kocha mkuu pia kamnyanganya nafasi ya nne msimu ulopita jamaa alikuja na vijana wawili kutoka juve Rodrigo bentacur na Kulusevski awaa jamaa walienda kufanya spurs iwe Bora na kuimalika

Msimu huu Sasa Conte kashusha vijana wengine kina Ivan persic, Richardson, Bissouma n.k nyinyi Arsenal embu mtwambie pale top four mnamtoa nani Chelsea au maana spurs top four ANAKAA kam hamuamin msubiri mziki wa conte muone balaa lake

Tumewape taarifa mapema kabisa conte Top four ANAKAA nyiny mnakaa nafasi ya nani pale top four
Kwahyo Nyumbu yako hauiamin.
 
Arsenal haijaanza vzuri wamepelekewa moto sana Umeangalia game kwel?? Goli la kwanza kwa msaada wa kona goli la pili Own goal na possession,Shots C.palace kaongoza zote pass,drible,dangerous attack zote
Okay bas Palace kabeba 3points.
 
Back
Top Bottom