Wakuletwa Senior Member Joined Oct 31, 2010 Posts 134 Reaction score 9 Sep 17, 2011 #1 Mnaikumbuka LEEDS UNITED! Ilikuwa inatisha enzi za kina Rio lkn ikaporomoka mpaka .... Sasa Asernal nayo inaelekea huko balaa gani hili?
Mnaikumbuka LEEDS UNITED! Ilikuwa inatisha enzi za kina Rio lkn ikaporomoka mpaka .... Sasa Asernal nayo inaelekea huko balaa gani hili?
M Mushihiri Member Joined Jun 14, 2011 Posts 33 Reaction score 0 Sep 17, 2011 #2 wanajua kuchezea mpira kwenye vyombo vya habari.Wakishinda mechi moja wanaanza kujigamba kuwa ndio wanaianza ligi ila kwa babu wenger mambo ni magumu.
wanajua kuchezea mpira kwenye vyombo vya habari.Wakishinda mechi moja wanaanza kujigamba kuwa ndio wanaianza ligi ila kwa babu wenger mambo ni magumu.