MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 352
WanaJF cpend kuwa muongo mana leo mech zitakazocheza leo iwapo ARSENAL akashnda na MAN-U,-CITY wakatoa draw bac mkaemkijua kuwa ndo bac tena arsenal bingwa wa ligi na hvyo ndivyo ilivyo kama vp 2subili mana mpra ni dakika 90 ila huwa ctabili kinyume hata sikumoja so polen sana wengne sawa pipo ila ARSENAL wapo juu