WanaJF cpend kuwa muongo mana leo mech zitakazocheza leo iwapo ARSENAL akashnda na MAN-U,-CITY wakatoa draw bac mkaemkijua kuwa ndo bac tena arsenal bingwa wa ligi na hvyo ndivyo ilivyo kama vp 2subili mana mpra ni dakika 90 ila huwa ctabili kinyume hata sikumoja so polen sana wengne sawa pipo ila ARSENAL wapo juu
Yaani, can't wait jamani, go go go gunners!
Ntafurahi sana Murefu tukiwa mabingwa,it has bn long!
Gunners Goooooooooooooooooo!!!!!!!!!!! make our dream come true
:A S-fire1:
kama unajua umemuandaa vp mwanao bac ujue wewe ni kiongoz na kama hamamin analia mech leo utaniambia mana ninajua MAN-U wanatoa draw mech zote zilizobak sawa