Arsenal msikosee tena, mchukueni Nuno Espitito Santo

Arsenal msikosee tena, mchukueni Nuno Espitito Santo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Uchebe wa EPL _joy_  Anafundisha timu gani vile_question_ ( 426 X 640 ).jpg


Ukimfuatilia kwa karibu utagundua huyu ni aina ya kocha ambaye timu ya Arsenal inamhitaji, kwa sasa anafundisha timu ya Wolves.
 
Kuna wengine ni makocha ama wachezaji wa timu ndogo tu, so tusijipe 100% kwamba nuno atafanya vizuri, hata yeye bado ni 50/50.
Ukimfuatilia kwa karibu utagundua ni miongoni mwa makocha bora kabisa duniani kwa sasa
 
Mbona Frank lampard kaweza licha ya kwamba alikuwa kocha championship
Kuna wengine ni makocha ama wachezaji wa timu ndogo tu, so tusijipe 100% kwamba nuno atafanya vizuri, hata yeye bado ni 50/50.
 
Ukimfuatilia kwa karibu utagundua ni miongoni mwa makocha bora kabisa duniani kwa sasa
Sikatai hilo, ndio maana nikasema 50/50 anaweza akaja pale na akapuyanga tu, mpira ndivyo ulivyo, so mashabiki wa arsenal tusidhani matatizo yetu nuno atayamaliza, nikasema kuna makocha/wachezaji wa timu za huko katikati, presha ya arsenal mahitaji ya arsenal si sawa na wolves.
 
Mbona Frank lampard kaweza licha ya kwamba alikuwa kocha championship
Frank lampard sio kaweza ila kaonesha ubora fulani, nikikuuliza alichokiweza frank utaniambia kipi, lampard kaonesha ana kitu, amewafanya chelsea wanacheza soka ambalo bosi wao amekuwa akitamani lichezwe pale misimu dahari wa dahari!

Sijui kama ulielewa maana yangu ya kusema 50 50, kuna kuonesha mazuri na kufeli, lampard hajafeli ila kaonesha kitu ambacho watu hawakukitarajia toka kwake, unadhani chelsea ikimaliza misimu mi3 inacheza soka hili ila hakuna hata kikombe cha kahawa watamvumilia kisa anacheza soka zuri mzee, timu hizi za juu zina malengo makubwa na mahitaji makubwa.

Timu inataka lazima icheze uefa, sio sawa na wolves ambao wao kwao hata euroa safi tu, kimsingi wasiwe kwenye ukanda wa kushuka daraja tu.
 
Frank lampard sio kaweza ila kaonesha ubora fulani, nikikuuliza alichokiweza frank utaniambia kipi, lampard kaonesha ana kitu, amewafanya chelsea wanacheza soka ambalo bosi wao amekuwa akitamani lichezwe pale misimu dahari wa dahari!

Sijui kama ulielewa maana yangu ya kusema 50 50, kuna kuonesha mazuri na kufeli, lampard hajafeli ila kaonesha kitu ambacho watu hawakukitarajia toka kwake, unadhani chelsea ikimaliza misimu mi3 inacheza soka hili ila hakuna hata kikombe cha kahawa watamvumilia kisa anacheza soka zuri mzee, timu hizi za juu zina malengo makubwa na mahitaji makubwa.

Timu inataka lazima icheze uefa, sio sawa na wolves ambao wao kwao hata euroa safi tu, kimsingi wasiwe kwenye ukanda wa kushuka daraja tu.

wewe ndo mwanasoka wa ukweli.. 👊👊👊👊
 
Kuna makocha wa kuchukua vikombe na wengine wa kujisifia Tu kuwa tunakocha, na makocha wenye uwezo wa kuja na kukupa vikombe ndani ya misimu miwili ni wachache Sana hawazid hata watano , wengi wa makocha walioko sokoni hawana uwezo wa kukuhakikishia kupata vikombe ndani ya misimu miwili, wengi wao mpak misimu mitano ndo anabahatisha kikombe kimoja ,Sana Sana ni kufukuza upepo na kuishia nafasi ya pili au ya tatu na kutolewa champions League robo au nusu fainal, Kwa mbaali anaweza kukuzawadia kombe la FA
 
Safi sana umechambua vyema hujapuyanga
Frank lampard sio kaweza ila kaonesha ubora fulani, nikikuuliza alichokiweza frank utaniambia kipi, lampard kaonesha ana kitu, amewafanya chelsea wanacheza soka ambalo bosi wao amekuwa akitamani lichezwe pale misimu dahari wa dahari!

Sijui kama ulielewa maana yangu ya kusema 50 50, kuna kuonesha mazuri na kufeli, lampard hajafeli ila kaonesha kitu ambacho watu hawakukitarajia toka kwake, unadhani chelsea ikimaliza misimu mi3 inacheza soka hili ila hakuna hata kikombe cha kahawa watamvumilia kisa anacheza soka zuri mzee, timu hizi za juu zina malengo makubwa na mahitaji makubwa.

Timu inataka lazima icheze uefa, sio sawa na wolves ambao wao kwao hata euroa safi tu, kimsingi wasiwe kwenye ukanda wa kushuka daraja tu.
 
Huyo Nuno hapana asee. Bado haja prove chochote tangible. Ni average coach. Asije ipeleka tena arsenal kuwa kama wolves. Hapo apewe kocha mwenye mafanikio tayar ili apambane. Hao wengine hapo sio sehemu ya majaribio.
 
Huyo Nuno hapana asee. Bado haja prove chochote tangible. Ni average coach. Asije ipeleka tena arsenal kuwa kama wolves. Hapo apewe kocha mwenye mafanikio tayar ili apambane. Hao wengine hapo sio sehemu ya majaribio.
Kwani Vilas Boas alikuwa ameprove nini na aliwapa Chelsea kikombe.
 
Huyo Nuno hapana asee. Bado haja prove chochote tangible. Ni average coach. Asije ipeleka tena arsenal kuwa kama wolves. Hapo apewe kocha mwenye mafanikio tayar ili apambane. Hao wengine hapo sio sehemu ya majaribio.
Ndio maana mimi namkubali sana Allegri, huyu ni kocha anayeweza kutuweka level ya juu kwenye Epl kwa muda mrefu sana!.. Mafanikio yake yapi wazi sana.. Tukimpata pia Luis itakuwa poa japi uwezekano haupo.. Pochetino ni mzuri sans japo hakuna uhakika wa vikombe ila mpira tutaupiga mwingi sana!.. Huyo nuno timu kubwa tutazikarisha sana ila anafungwa na timu ndogo... Kikubwa sana Emery ametoka, kocha yoyote atakayechukua nafasi yake naamini atakuwa bora kuliko huyo mhindi koko
 
Back
Top Bottom