T Travoo JF-Expert Member Joined Oct 30, 2014 Posts 397 Reaction score 481 Dec 16, 2017 #1 Sisi kama timu tumeamua kujitoa kwenye mbio za kuwania ubingwa wa EPL ili kumuunga mkono Pep Guadiola maana anachokifanya sisi kama upinzani ndo ilikuuwa dira yetu.Hivo kesho tutajiunga rasmi na Man City.
Sisi kama timu tumeamua kujitoa kwenye mbio za kuwania ubingwa wa EPL ili kumuunga mkono Pep Guadiola maana anachokifanya sisi kama upinzani ndo ilikuuwa dira yetu.Hivo kesho tutajiunga rasmi na Man City.
Econometrician JF-Expert Member Joined Oct 25, 2013 Posts 16,879 Reaction score 31,253 Dec 16, 2017 #2 magufuli style
Chris14 JF-Expert Member Joined Oct 2, 2017 Posts 3,076 Reaction score 2,181 Dec 16, 2017 #3 [emoji1] pamoja na kuwa mshabiki na mpenzi wa Arsenal toka miaka ya tisini mwishoni, kwa sasa hakuna uwezekano wowote wa ubingwa wa epl. Naikumbuka sana invincible ya 49 games unbeaten.
[emoji1] pamoja na kuwa mshabiki na mpenzi wa Arsenal toka miaka ya tisini mwishoni, kwa sasa hakuna uwezekano wowote wa ubingwa wa epl. Naikumbuka sana invincible ya 49 games unbeaten.
Mr Mikazo JF-Expert Member Joined May 26, 2016 Posts 1,594 Reaction score 800 Dec 16, 2017 #4 walinichania mkeka juz hawa