Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
wewe ni Bukayo Saka seniorMimi nilipokuwa mdogo nilishabikia Arsenal.
Baada ya kuwa mkubwa niliachana nayo.
Inaonesha umeanza fwatilia mpira mwaka jana.Mbona hizo za wakubwa liverpool na Manyuuu zimeishiwa pumzi au zenyewe makombe hazitaki?
Unaota?Msimuu timu iliyomsumbua Aseno ni mancity hivyo vitimu vingine vimepelekewa pumzi ya moto na swala la ubingwa bado ligi haijaisha
AiseeeMimi nilipokuwa mdogo nilishabikia Arsenal.
Baada ya kuwa mkubwa niliachana nayo.
Waliosema ngoma ya watoto haikeshi hawakukosea!Arsenal ni timu iliyo undwa kwa ajili ya kuzalisha vipaji ili timu za wakubwa (mfano man united, man city, liverpool nk) ziwanunue na kuwatumia kupata makombe!!
Refer van parsie ambaye kama sio kuja man united asingekaa abebe kombe la ligi!!
Kwani man u msimu huu hana kombe?Mbona hizo za wakubwa liverpool na Manyuuu zimeishiwa pumzi au zenyewe makombe hazitaki?