arsenal not yet to be a champion.

Chief Kingalu

New Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
1
Reaction score
0
Timu ya soka ya arsenal nchini england imezidi kutia aibu kwenye uwanja wake wa nyumban emirates baada ya kukubali kipigo cha goli 3-2, the gunners wametia aibu mbele ya chogo (henry) ambaye alikuwa anashuhudia majita wake wakiutafuta mpira kwa ulimbo, arsenal imeshafungwa na w brom, newcastle utd na spurs kwenye uwanja huo, kwa staili hii arsena wenger au mr bean anahitaji huduma ya kwanza
 
safari bado mbichi...ubingwa upo palepale
 
Arsenal bado sana bado wako chekechea na mzee Wenger anapaswa kupisha wengine wamsaidie
 
wamepigwa 2-0 halafu ukiwauliza watakwambia ile timu ya baadae inasukwa...puuumbav
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…