...nilikuwa najiuliza why silvestre wakati yupo clichy na armand traore, kumbe traore ata spend whole season portsmouth.
sera za arsene wenger, kaazi kweli kweli.
Na ukizingatia umri wa Silverste kulinganisha na huyu dogo Traore? nashangaa kwa nini Wenger kawatoa Traore na Hoyte ambao ni vijana kenda kumchukua Mzee? tena majeruhi? Wenger anatuchanganya kweli.
Wenger ana ufaransaisim sana.......hiki kibabu kakileta kifanye nini arsenal?
Injury News;
Thursday, August 21, 2008
Cesc Fabregas has a hamstring problem, he could be back for the second FC Twente game.
Philippe Senderos
Thursday, August 21, 2008
Senderos has a scan on his hamstring and will not feature against Fulham.
Abou Diaby
Thursday, August 21, 2008
Abou has a thigh injury and is likely to be sidelined for another couple of weeks.
Tomas Rosicky
Thursday, August 21, 2008
Wenger believes the player should have recovered from his hamstring injury by September.
Eduardo
Thursday, August 21, 2008
The striker is continuing his recovery from a fractured leg and could be back in November.
hizi ndio anga zako cha-mdoli wewe, yaani mambo ya mashabiki!! ikija mambo ya kufikiria huyawezi....upo mediocre sana a philistine.
Huyu jamaa atakuwa akicheza tu pale ambapo one of our back four hawapo available, sidhani kama atakuwa kwenye first team. At 31, I believe he is well past his 'sell by date' na kama angekuwa sio mfaransa sidhani kama Wenger angem sign. I never thought we were that desperate at the back, kila mtu alitegemea angesign midfielder mzoefu. My fellow gunners- huu ni msimu mwingine wa maumivu.
nadhani msimu huu Toure atacheza kama Defensive Midfield na huyu Silvestre atacheza na Gallas katika Central Defence , vilevile atakuwa back up kwa Clichy, kinachonisikitisha ni kwamba huyu amezeeka na Gallas nae mzee? Faraja pekee ni wana uzoefu mkubwa kati yao.
jazba tupu! Hakuna alokwambia usichangie mahali popote, mwenyewe umejiingiza kwenye anga kwa ushabiki wako wa kijinga...wengine hapa sio ma-soldiers kama wewe, kazi kushabikia tu bila kutumia akili zako! Naona ume-panic, unaandika kwa hasira, nipige basi bwahahahahaha!!
Usiende huko kabisa kwenye masuala ya umombo na akili zangu, kwa kifupi wewe ndio umeanza na mie namalizia...nakushauri ukue na kuanza kufiria wewe mwenyewe binafsi mr. Poltroon. Watu kama nyie wakimbiza mdundiko ndio mnawapa eazy ride mafisadi...upo naive mpaka basi yaani. Shame.
Endelea kushabia tuone mwisho wake...lol
Pamoja na kutokuwa mshabiki wa arsenal na heshima niliyonayo kwa wenger,lakini sera zake uwa sikubaliani nazo.Sijui,lets see.[/QUOT Sera zake zipi hukubaliani nazo mkuu??