Arsenal tukimpiga Bayern, tunakutana na Madrid au City. Hii sio haki

Arsenal tukimpiga Bayern, tunakutana na Madrid au City. Hii sio haki

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Screenshot_20240316_145536_Google.jpg
Hii sio haki, hata kama ni droo prediction Baada ya kutoa kitufe kuona ni hivyo wangefanya hata manuva kama yale yaliyofanyika juzi huku dunia ya tatu...

Side A una
Atletico
Dortumund
PSG
Barcelona

Side B
Arsenal
Bayern
Madrid
Man City.

Hata kama mpira una dunda, ndio udunde kwetu Arsenal? Hapa Mechi iliyo balance ni Atletico na Dortumund tuu,

Huyo City angeletwa [emoji118] akutana na PSG, [emoji117]Madrid Aminyane na Bayern sisi hao Barcelona tungepewa tukajipigia kama ngoma angalau Nusu fainali tungeiona, hayo Mengine yangekua mapenzi Ya mnyaazi mungu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240316_145536_Google.jpg
    Screenshot_20240316_145536_Google.jpg
    45.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240316_145536_Google.jpg
    Screenshot_20240316_145536_Google.jpg
    45.3 KB · Views: 2
Kwamba mto amada unataka kubeba ubingwa kwa kuzioiga timu dhaifu? Au una maana gani?🤣
 
Kwamba mto amada unataka kubeba ubingwa kwa kuzioiga timu dhaifu? Au una maana gani?[emoji1787]
Hapo kubeba Ubingwa Gani?
Labda kubeba Makwapa...
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Porto Mwenyewe tuu Ilikua shidaa...

Arteta kasema Njia pekee ya Arsenal kuepuka kipigo, ni kutopeleka timu Uwanjani.
 
Back
Top Bottom