Arsenal Vs Leicester (Mechi Ya Jana 11/8/17)

Kigoma Boy

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2017
Posts
223
Reaction score
128
1. Ukabaji Mbovu Wa Hector Bellin Umefanya Holding Aonekane Njia
2. EPL (English Premier League) hakuna Kiungo Kama GRANIT XHAKA
3.GIROUD Ndiye Super sub Epl Nzima
4.Arsenal Wanajua Mpka Kero

[HASHTAG]#TeamArsenal[/HASHTAG]
 
Game ya jana ilikuwa tamu sn ukizngatia iliwalazmisha Arsenal kucheza mpira wa kasi sn ambao sio wao,

Jimmy Vardy hakuwa midomoni mwa wadau wengi ila jamaa analijua goli na ataduwaza wengi msimu huu..

Kilichoisaidia Arsenal jana ni Chamberlain na Xhaka na Bellerin kufos mpira wa matokeo ambao sio asili ya Wenger!!!!
Zile pasi ndefu mita zaidi ya 20 za Xhaka namashuti ya mbali ya Ox yalifanya Leceister wa concentrate nyuma zaid na kuwapa mwanya gunners kuwapumulia kila dakika.

Good start Arsenal!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah! The Gunners kama kawaida yenu, mnaanzaga kwa kujitapa tu mwisho mnaishia kubeba mabango "WENGER OUT"

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
1. Ukabaji Mbovu Wa Hector Bellin Umefanya Holding Aonekane Njia
2. EPL (English Premier League) hakuna Kiungo Kama GRANIT XHAKA
3.GIROUD Ndiye Super sub Epl Nzima
4.Arsenal Wanajua Mpka Kero

[HASHTAG]#TeamArsenal[/HASHTAG]
Tatizo ni defense!
 
ujinga mtupu mechi ya kwanza unakubali goli na unatumia nguvu nyingi kuchomoa still unajisifia unatimu
Ukilinganisha na relodi za nyuma mechi za kwanza, jana ilikuwa poa, point 3, possession 70%, ni defense tu ktk set pieces na zile run against a play ndo ziganyiwe kazi!
Angalau Arsenal wameanza nanpoint tatu, wanaanzaga na moja au hamna.
 
1. Ukabaji Mbovu Wa Hector Bellin Umefanya Holding Aonekane Njia
2. EPL (English Premier League) hakuna Kiungo Kama GRANIT XHAKA
3.GIROUD Ndiye Super sub Epl Nzima
4.Arsenal Wanajua Mpka Kero

[HASHTAG]#TeamArsenal[/HASHTAG]
Namba 4,uko sahihi sana yaani jana walikuwa wanaangalia uwezo wao ukoje mpaka kufika golini,maana wanakwenda pasi za kufa mtu mpaka kwenye goli halafu hawafungi.Nimeghairi mpango wangu wa kupiga kampeni Wenger aondoke.

Sony Z3
 
Manherez Jana Ilibid Atoke Gemu Lilimkataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 4,uko sahihi sana yaani jana walikuwa wanaangalia uwezo wao ukoje mpaka kufika golini,maana wanakwenda pasi za kufa mtu mpaka kwenye goli halafu hawafungi.Nimeghairi mpango wangu wa kupiga kampeni Wenger aondoke.

Sony Z3
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…