Ni bonge la mechi pale London.
Arsenal (tembo) atashuka dimbani katika mchezo wa pili wa raundi ya 16 bora akijaribu kusaka matokeo dhidi ya Porto.
Mchezo wa kwanza Arsenal alipigwa 1-0 pale Estadio Dragao.
Je, Arsenal atapindua meza? Tukutane saa 5:00 usiku kwa live updates…