TheForgotten Genious JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 2,087 Reaction score 3,156 Nov 5, 2023 #1 Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16]
Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16]
Khalifavinnie JF-Expert Member Joined May 19, 2017 Posts 2,796 Reaction score 2,367 Nov 5, 2023 #2 msimu huu wamechoka mapema sana nadhani sababu ya mshindano mengi kwao kitu kigeni,washapungiziwa moja ngoja tuone wanasongaje.
msimu huu wamechoka mapema sana nadhani sababu ya mshindano mengi kwao kitu kigeni,washapungiziwa moja ngoja tuone wanasongaje.
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Nov 5, 2023 #3 Unawachukulia poa Newcastle eeh
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Nov 5, 2023 #4 TheForgotten Genious said: Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16] Click to expand... Uliangalia mpira Jana kwanza lile goli sio hali halafu ile counter pressing ya Newcastle jana angalau wangejitahidi wakapata droo jamaa wanakaba mpaka kivuli.
TheForgotten Genious said: Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16] Click to expand... Uliangalia mpira Jana kwanza lile goli sio hali halafu ile counter pressing ya Newcastle jana angalau wangejitahidi wakapata droo jamaa wanakaba mpaka kivuli.