Arsenal wanaanzaga spidiii,katikati tu hoi

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
msimu huu wamechoka mapema sana nadhani sababu ya mshindano mengi kwao kitu kigeni,washapungiziwa moja ngoja tuone wanasongaje.
 
Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16]
Uliangalia mpira Jana kwanza lile goli sio hali halafu ile counter pressing ya Newcastle jana angalau wangejitahidi wakapata droo jamaa wanakaba mpaka kivuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…