Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitamn mechi itokee vurugu isiendelee aibu kupgwa ndani nje kwa kiwango kilekile?Ni aibuu naama timuuu
5+5=arsenal 😀 😀 😀 😀Nenda tuu hama ..wala hujawai kua shabiki wa gunners wewe..
Na mwaka huu uefa mtaisikia kwenye radio.sitohama hata tukishuka daraja
die hard fan
arsenalforever
HahahahaNa mwaka huu uefa mtaisikia kwenye radio.
Bora wasiingie top 4 mpaka Wenger atakapostaafu.Na mwaka huu uefa mtaisikia kwenye radio.
Bora wasiingie top 4 mpaka Wenger atakapostaafu.Na mwaka huu uefa mtaisikia kwenye radio.
Katika timu zinazojua kupindua matokeo ni arsenal,,walianza baryen wakamalizia EmiratesBora wasiingie top 4 mpaka Wenger atakapostaafu.
maana yule hafukuzwi mpaka atakapo staafu kwa sababu ya umri kama Sir Alex
Wapi hiyo mjomba ?