Arsenal yahamia kwa Mahrez

nickhubert

Senior Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
113
Reaction score
25
Arsenal wameanza mazungumzo na Leicester City kuhusu uhamisho wa Riyad Mahrez 25, baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili Jamie Vardy, 29. (Sun) Washika bunduki hao wanaimani Vardy atasaini kabla ya michuano ya Euro 2016 haijaanza ifikapo Ijumaa.

 
Safi sana kijana wetu wa Africa..mafanikio yako yameonekana..hivyo ingependeza zaidi Man city
 
wenger anafikiri akiwabomoa leicity city atahamishia mafanikio yao kwake anaota ndoto ya mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…