TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
wametulia sana leoWatajuaa hawajui [emoji23]
Ila angalau mwakan atakuwa UEFA maana kitamboo akuwepo...
Wataalam walitabiri Miaka 10 ILIYOPITA kuwa 2023 arsenal otachukua UBINGWA EPL.
Man City centre back tu wako wachezaji watano, unategemea wataacha kubeba ubingwa kwa akina Saka ambao wamecheza mechi nyingi sana kuliko wachezaji wa Mwa-City wanaofanyiwa rotation mara kwa mara?Watoto wamesha collapse, wale Man City sio watu ni majini, nafasi ya pili itanitosha pia..
Hawa ni wasindikizaji tuArsenali si niliwaambia kwamba ninyi ubingwa wenu ni ule ule wakukosa vikombe,kama mnawaza kikombe basi ni cha uji sio EPL