Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Kwa waliofanikiwa kubashiriwa na chatgpt njoeni mtoe ushuhuda wenu, mimi nimejaribu mara kadhaa nikazidi kupotezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima wawepo, ila wachacheKuna mtu aliewahi kufanikiwa kupitia betting?
Kitaa hapa kwa binyau kuna konda amekula million 30Kuna mtu aliewahi kufanikiwa kupitia betting?
Anacheza man city anakula kipondo kila mbinu inafeli ghafla, chatgpt inakusaidiaje hapaKwa waliofanikiwa kubashiriwa na chatgpt njoeni mtoe ushuhuda wenu, mimi nimejaribu mara kadhaa nikazidi kupotezwa
Kama hujui chatgpt inaenda kwenye website karibu zote na kuchuja matokeo ya kubashiriwa ila nashangaa bado jau tuAnacheza man city anakula kipondo kila mbinu inafeli ghafla, chatgpt inakusaidiaje hapa
Chatgpt sijui inatoa majibu vice versa kabisaKwa ufupi mkuu hakuna uhakika kwenye betting, labda wewe ndiye uwe Goalkeeper.
Pale ni kubahatisha tu
Tunatafuta mtaji bro, hamna anaependa kubetiNa bado ! Utapotezwa sana tu kama hutaki kuwa Mbunifu wa kutengeneza ajala ya halali ya kuzalisha kisha kuuza bidhaa ama huduma kwa wanao kuzunguka!!!
Kiukwel sijawahi bet ila washkaji zangu wanaobet kila siku utaskia nimeweka 3k nkapata 45k, mara niweka 10k nkapata 119k afu baada ya dkk tano anakuomba 2kLazima wawepo, ila wachache
Leta ushuhuda wakoAisee hii kitu nilijaribu acha tu niseme sumu haijaribiwi kwa kulambwa
Labda useme mambo arbitrage, ila chatgpt haiwezi jua kesho timu fulani inashinda ngapi. Betting site wangeshafunga biashara mkuu, ni easy math hii. Naweka nuktaKama hujui chatgpt inaenda kwenye website karibu zote na kuchuja matokeo ya kubashiriwa ila nashangaa bado jau tu
Endelea kuamini hivoKitaa hapa kwa binyau kuna konda amekula million 30
Naomba unijuze kuhusu arbitrageLabda useme mambo arbitrage, ila chatgpt haiwezi jua kesho timu fulani inashinda ngapi. Betting site wangeshafunga biashara mkuu, ni easy math hii. Naweka nukta
Ni mambo ya probabilities, wanaopiga hela ya maana wanakua wachache wengi wanapoteza ndo model ya biashara ya betting.Kiukwel sijawahi bet ila washkaji zangu wanaobet kila siku utaskia nimeweka 3k nkapata 45k, mara niweka 10k nkapata 119k afu baada ya dkk tano anakuomba 2k