Artificial Intelligence (AI) kwenye betting

Kiukwel sijawahi bet ila washkaji zangu wanaobet kila siku utaskia nimeweka 3k nkapata 45k, mara niweka 10k nkapata 119k afu baada ya dkk tano anakuomba 2k
Ni mambo ya probabilities, wanaopiga hela ya maana wanakua wachache wengi wanapoteza ndo model ya biashara ya betting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…