Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma na Naibu Waziri kivuli wa Fedha, Mipango na Hifadhi ya Jamii ACT Shangwe Ayo kupitia ukurasa wake wa X ameweka taarifa hii, inaonekana hali sihali huko;
"Arumeru Mashariki Kata ya Poli Mtendaji wa Kijiji cha Poli kaogopa kubandika matokeo maana wana nchi wamejaa na wagombea, kwaivyo polisi na maji yao ya machozi wamefika ndio mtendaji ana anza kubandika sasa.
"Haki itapatikana kwa wananchi "
Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma na Naibu Waziri kivuli wa Fedha, Mipango na Hifadhi ya Jamii ACT Shangwe Ayo kupitia ukurasa wake wa X ameweka taarifa hii, inaonekana hali sihali huko;
"Arumeru Mashariki Kata ya Poli Mtendaji wa Kijiji cha Poli kaogopa kubandika matokeo maana wana nchi wamejaa na wagombea, kwaivyo polisi na maji yao ya machozi wamefika ndio mtendaji ana anza kubandika sasa.
"Haki itapatikana kwa wananchi "