Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kutengeneza supu,Kwahio kasema kichwa alikuwa anapeleka wapi?
Mmmh kweli ana roho ngumu mpk akate shingo yote ya binadam mwenzie tumwombe Mungu kwakweli.Raymond Mollel amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mlinzi mwenzake kwa kumchinja na kuondoka na kichwa chake bila kuiba kitu eneo la tukio.
Mtuhumiwa huyo amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipokificha kichwa cha mwenzake. Raymond na marehemu walikuwa walinzi wa Meya wa Arusha, Maxmillian Iranghe.
Pia, soma: Arusha: Mlinzi auawa kwa kuchinjwa, wauaji waondoka na kichwa
Millard Ayo, Video
Stress! Source? CCM regime
Hizi tabia za kishetani zilipandikizwa na yule jamaa aliyepo motoni.
hadi sasa vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa kudhibiti hii hali, hii serikali sasa haina meno kabisa mda si mrefu ujambazi utashamiri kila kona kama hili tu wanaliona ni jambo la kawaida.
Hizi tabia za kishetani zilipandikizwa na yule jamaa aliyepo motoni.
Kumbe muuaji ni kutoka kaskazini basi sawa.
Nani atkamatwa mkuu?Atakamatwa tu
Masharti ya mgangaRaymond Mollel amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mlinzi mwenzake kwa kumchinja na kuondoka na kichwa chake bila kuiba kitu eneo la tukio.
Mtuhumiwa huyo amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipokificha kichwa cha mwenzake. Raymond na marehemu walikuwa walinzi wa Meya wa Arusha, Maxmillian Iranghe.
Pia, soma: Arusha: Mlinzi auawa kwa kuchinjwa, wauaji waondoka na kichwa
Millard Ayo, Video