Arusha Baridi

Aise , inasikitisha sana..Elimu muhimu
kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.

ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.
 
Aise , inasikitisha sana..Elimu muhimu
kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.

ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.
 
Kamaa upo Moshono nenda mitaa ya suye pale katulie na supu ya ngongoro
 
kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.

ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.
Kweli mkuu, Perhaps wachache sana wanafahamu kuwa ni hatari kulala na jiko la mkaa cuz of less oxygen na carbon monoxide inayozalishwa ambayo mbaya sana kwa afya
 
Ile baridi Iko chuga hapana kwa kweli,siku mbili tu niliziona mwaka,huu mwaka imezidi.
Ni kurudi kwetu usukumani mbio mbio,hayo mateso ziiiii
 
Kamaa upo Moshono nenda mitaa ya suye pale katulie na supu ya ngongoro
Asante mkuu..Ila silagi Kongoro.

Nilienda maeneo ya Masai camp hapo suye aise kuna baridiiiii hata huwezi enjoy, nikarudi zangu home
 
Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje? It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.

Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Njoo DM
 
Shida ya kukutana na hawa watu wanataka enda sehemu za starehe ..me nipo Arusha nimewasha mkaa Hapa huwa nawasha bila baada ya siku moja kajoto flani hivi amazing sana kwa mbali kuna ka flat na external ina movie za kucheba kwanzia msandawee anaetaka join aje
 
Kwa hio unaogopa kubakwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…