Pre GE2025 Arusha: CHADEMA yakutana na Mashehe na kufanya nao Mazungumzo

Pre GE2025 Arusha: CHADEMA yakutana na Mashehe na kufanya nao Mazungumzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katika hali iliyotafsiriwa kama kuhakikisha Mahusiano mazuri na Makundi yote ya Kijamii, Chadema imekutana na Mashehe Jijini Arusha na kufanya nao mazungumzo, Yaliyofuatiwa na Dua kabambe.

Zaidi Taarifa kamili hii hapa

Screenshot_2025-02-21-19-47-58-1.png
Screenshot_2025-02-21-19-48-07-1.png
Screenshot_2025-02-21-19-47-45-1.png
Screenshot_2025-02-21-19-48-15-1.png
Screenshot_2025-02-21-19-48-24-1.png


Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara, Mhe. John Heche, akiwa ameongozana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Bara, Mhe: Amani Golugwa, pamoja na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Mhe. Adv. Samwel Welwel, leo Ijumaa, Februari 21, 2025, wamekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Taasisi ya Twariqatul Qadiriyyat Arraziqyyat katika Makao Makuu yake, Zawia Kuu, iliyopo Kata ya Ngarenaro, Arusha.

Viongozi hao walipofika katika Makao Makuu ya Zawia Kuu, walipokelewa na viongozi wa Taasisi ya hiyo ambapo walifanyiwa dua maalum. Dua hiyo iliongozwa na viongozi wa taasisi hiyo, ikiwa ni ishara ya kuombea mafanikio, umoja na amani kwa chama na nchi kwa ujumla.

Viongozi wa taasisi hiyo walielezea furaha yao kuwa na viongozi hawa wakiwemo katika mazingira ya kiroho, wakisisitiza umuhimu wa ushirikiano na maombi kwa ajili ya ustawi wa nchi na jamii.
 
Katika hali iliyotafsiriwa kama kuhakikisha Mahusiano mazuri na Makundi yote ya Kijamii, Chadema imekutana na Mashehe Jijini Arusha na kufanya nao mazungumzo, Yaliyofuatiwa na Dua kabambe.

Zaidi Taarifa kamili hii hapa

View attachment 3244538View attachment 3244539View attachment 3244541View attachment 3244542View attachment 3244544

Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara, Mhe. John Heche, akiwa ameongozana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Bara, Mhe: Amani Golugwa, pamoja na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Mhe. Adv. Samwel Welwel, leo Ijumaa, Februari 21, 2025, wamekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Taasisi ya Twariqatul Qadiriyyat Arraziqyyat katika Makao Makuu yake, Zawia Kuu, iliyopo Kata ya Ngarenaro, Arusha.

Viongozi hao walipofika katika Makao Makuu ya Zawia Kuu, walipokelewa na viongozi wa Taasisi ya hiyo ambapo walifanyiwa dua maalum. Dua hiyo iliongozwa na viongozi wa taasisi hiyo, ikiwa ni ishara ya kuombea mafanikio, umoja na amani kwa chama na nchi kwa ujumla.

Viongozi wa taasisi hiyo walielezea furaha yao kuwa na viongozi hawa wakiwemo katika mazingira ya kiroho, wakisisitiza umuhimu wa ushirikiano na maombi kwa ajili ya ustawi wa nchi na jamii.
Viongozi wote wa chadema walioenda sio waislamu. Tafuteni japo 1 siku ya pili mkienda nendeni nae
 
Katika hali iliyotafsiriwa kama kuhakikisha Mahusiano mazuri na Makundi yote ya Kijamii, Chadema imekutana na Mashehe Jijini Arusha na kufanya nao mazungumzo, Yaliyofuatiwa na Dua kabambe.

Zaidi Taarifa kamili hii hapa

View attachment 3244538View attachment 3244539View attachment 3244541View attachment 3244542View attachment 3244544

Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara, Mhe. John Heche, akiwa ameongozana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Bara, Mhe: Amani Golugwa, pamoja na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Mhe. Adv. Samwel Welwel, leo Ijumaa, Februari 21, 2025, wamekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Taasisi ya Twariqatul Qadiriyyat Arraziqyyat katika Makao Makuu yake, Zawia Kuu, iliyopo Kata ya Ngarenaro, Arusha.

Viongozi hao walipofika katika Makao Makuu ya Zawia Kuu, walipokelewa na viongozi wa Taasisi ya hiyo ambapo walifanyiwa dua maalum. Dua hiyo iliongozwa na viongozi wa taasisi hiyo, ikiwa ni ishara ya kuombea mafanikio, umoja na amani kwa chama na nchi kwa ujumla.

Viongozi wa taasisi hiyo walielezea furaha yao kuwa na viongozi hawa wakiwemo katika mazingira ya kiroho, wakisisitiza umuhimu wa ushirikiano na maombi kwa ajili ya ustawi wa nchi na jamii.
wameenda kumuombea msamaa nabii mnyang'anyi lema msamaha, right?🐒
 
Viongozi wote wa chadema walioenda sio waislamu. Tafuteni japo 1 siku ya pili mkienda nendeni nae
Wewe si umebatizwa baada kuanza ku date na Sultan Mbowe tatizo nini sasa nguruwe unakula pombe unakunywa, tuliza kishuzi hicho wanaume wafanye kazi.
 
Uongozi wa kisiasa unagusa jamii zote, hivyo ni muhimu unapotafuta kuwaongoza, ukamutana na makundi yote ama kusikia maoni yao au kueleza msimamo wako juu ya mambo yanayowagusa.

Hili ni jambo jema. Ni vrma wakayafikia makundi yote ya kijamii.
 
Back
Top Bottom