Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,194
JIJI la Arusha na mitaa yake kuna ukosefu wa matofali mepesi ya block ya kujengea kutokana na mgodi wa kutoa material ya kutengeneza matofali hayo kufungwa na haijulikani lini utafunguliwa,
Yanayopatikana Ni yale matofali mazito ambayo hayatumiwi sana na wananchi wengi kutokana na gharama yake kua juu.
Yanayopatikana Ni yale matofali mazito ambayo hayatumiwi sana na wananchi wengi kutokana na gharama yake kua juu.