DOKEZO Arusha maeneo ya Ngulelo kuna Mwekezaji amejenga kituo cha mafuta mpaka barabarani. Serikali ichukue hatua

DOKEZO Arusha maeneo ya Ngulelo kuna Mwekezaji amejenga kituo cha mafuta mpaka barabarani. Serikali ichukue hatua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Hili ni jambo baya sana na sio la kufumbua macho.

Kuna muwekezaji mmoja anajenga sheli pale alipoekezaga Bonoban anamambo ya ajabu sana.

Leo nimepita pale na gari tunashindwa kupishana kama kawaida mapaka mpange folleni msubiriane jambo ambalo halikuwepo...huyu mwekezaji amesogeza sheli mpaka amekula eneo la barabara na serikali ipo inaliona tu.

Soma Pia: Kwanini Kituo cha Mafuta kilichojengwa Kimara Stop Over kimejengwa eneo la hifadhi ya barabara ya Morogoro?

Tuna imani hili halijamfikia mkuu wa mkoa Poul Makonda asingevumilia ujinga kama huu.

Tunaomba serikali ichukue hatua dhidi ya huyu mwekezaji.
 
Unafanya kazi Tarura au Tanroad? Vipimo via barabara unavyo pamoja na ramani? Au ndio kututhibitishia ule msemo kwamba waafrika roho mbaya na uchawi ndio zetu
 
Unafanya kazi Tarura au Tanroad? Vipimo via barabara unavyo pamoja na ramani? Au ndio kututhibitishia ule msemo kwamba waafrika roho mbaya na uchawi ndio zetu
Unajua usikurupuke na vioja vyako au hoja za siasa hapa,hiyo barabara tunapita siku zote na magari yapishana vizuri...leo inakuwaje tushindwe kupishana?tunasubiri kwa foleni..acha ujinga wewe..Monoban alikuwa na sheli maeneo hayo mbona hakuingia barabarani na magari yalikuwa yakipisha vizuri bila shida.
 
Unafanya kazi Tarura au Tanroad? Vipimo via barabara unavyo pamoja na ramani? Au ndio kututhibitishia ule msemo kwamba waafrika roho mbaya na uchawi ndio zetu
Bangi za bendera ya kijani hizi
 
Unajua usikurupuke na vioja vyako au hoja za siasa hapa,hiyo barabara tunapita siku zote na magari yapishana vizuri...leo inakuwaje tushindwe kupishana?tunasubiri kwa foleni..acha ujinga wewe..Monoban alikuwa na sheli maeneo hayo mbona hakuingia barabarani na magari yalikuwa yakipisha vizuri bila shida.
Nguleo sehem gani?? Monoban ni ile shell ya kitambo sana iko kushoto kama unaelekea usa? Kabla ya Mtatakwani!!
 
Nguleo sehem gani?? Monoban ni ile shell ya kitambo sana iko kushoto kama unaelekea usa? Kabla ya Mtatakwani!!
Ndio hapo hapo..siunajua hapo ilikuwa na mgogoro baada ya ule upande kushinda wakaja kung'oa ile sheli ya Monoban then wakamleta mwekezaji mpya ambaye anajenga sheli tena hapo,ndio huyu amejenga mpaka barabarani
 
Unajua usikurupuke na vioja vyako au hoja za siasa hapa,hiyo barabara tunapita siku zote na magari yapishana vizuri...leo inakuwaje tushindwe kupishana?tunasubiri kwa foleni..acha ujinga wewe..Monoban alikuwa na sheli maeneo hayo mbona hakuingia barabarani na magari yalikuwa yakipisha vizuri bila shida.
Kwa hiyo ukizoea kupita mahali hapohapo ndio barabara?
 
Hapo vip!!

Hili ni jambo baya sana na sio la kufumbua macho.

Kuna muwekezaji mmoja anajenga sheli pale alipoekezaga Bonoban anamambo ya ajabu sana.

Leo nimepita pale na gari tunashindwa kupishana kama kawaida mapaka mpange folleni msubiriane jambo ambalo halikuwepo...huyu mwekezaji amesogeza sheli mpaka amekula eneo la barabara na serikali ipo inaliona tu.

Tuna imani hili halijamfikia mkuu wa mkoa Poul Makonda asingevumilia ujinga kama huu.

Tunaomba serikali ichukue hatua dhidi ya huyu mwekezaji.
Nchi iko kwenye auto mode!
 
Unajua usikurupuke na vioja vyako au hoja za siasa hapa,hiyo barabara tunapita siku zote na magari yapishana vizuri...leo inakuwaje tushindwe kupishana?tunasubiri kwa foleni..acha ujinga wewe..Monoban alikuwa na sheli maeneo hayo mbona hakuingia barabarani na magari yalikuwa yakipisha vizuri bila shida.
Kituo cha mafuta una shell?!
 
Ndio hapo hapo..siunajua hapo ilikuwa na mgogoro baada ya ule upande kushinda wakaja kung'oa ile sheli ya Monoban then wakamleta mwekezaji mpya ambaye anajenga sheli tena hapo,ndio huyu amejenga mpaka barabarani
Ila ile shell ya Monoban iko mbali na barabara unless kama unakatiza njia ya vumbi kwenda kushoto pale ngulelo kama kaja hadi barabara kuu kuna ka distance
 
Back
Top Bottom