Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hili mheshimiwa iwe tamaduni yaaani hakuna kuoeneana aibu, wanarudisha 20b wakti bado kuna changamoto? Seriously?Wakuu,
Hivi karibuni kulikuwa na video inayotembea mtandaoni ikiwaonesha wananchi wa Arusha wakimtembeza diwani wao kwenye dimbwi la maji machafu.
Akiongea hivi karibuni, Makonda amewapongeza wananchi kwa kumuwajibisha diwani huyo.
View attachment 3178820
Wakuu,
Hivi karibuni kulikuwa na video inayotembea mtandaoni ikiwaonesha wananchi wa Arusha wakimtembeza diwani wao kwenye dimbwi la maji machafu.
Akiongea hivi karibuni, Makonda amewapongeza wananchi kwa kumuwajibisha diwani huyo.
View attachment 3178820
CCM ndio inapaswa kufanyiwa hivyo huyo diwani ni kumuonea tu Mbona huyo Makonda hawashawishi wananchi wamtumbukize Samia kwenye dimbwi la matope?Wakuu,
Hivi karibuni kulikuwa na video inayotembea mtandaoni ikiwaonesha wananchi wa Arusha wakimtembeza diwani wao kwenye dimbwi la maji machafu.
Akiongea hivi karibuni, Makonda amewapongeza wananchi kwa kumuwajibisha diwani huyo.
View attachment 3178820
Wasiwasi wangu kuna siku wataanza kupitisha Wakuu wa mikoa Je atafurahi?Diwani anakusanya mapato ya halmashauri/serikali?
Hii nzuri snWasiwasi wangu kuna siku wataanza kupitisha Wakuu wa mikoa Je atafurahi?
Zamu yake inakujaWasiwasi wangu kuna siku wataanza kupitisha Wakuu wa mikoa Je atafurahi?