ARUSHA: Miaka 5 ijayo nahisi watakuwa na Lugha yao!

Huu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
 
"Temana nasi kama umekaa kireee"
Swagireeeee
 
Chuga hiyo,jiji la wajanja,maisha ya ukweli. Dolari ya niga ndo hela ya mboga unaacha home ukitoka asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…