ARUSHA: Miaka 5 ijayo nahisi watakuwa na Lugha yao!

yechu yechu dingii,lichuga tunabofonga maslang yetu,hao mashori wa dar wakituletea lomoni ,tunawapa mabam bam, majabal na mabeto alaf tunawadownload mamanegram .haina noma arif mim nakula fasi ya coment g g ya. Limoro
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaaani Kumsema mwanaume mwenzako kula ninakuwa na wasiwasi nawewe
 
Kama kwako ni ushamba wengine ni ujanja

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
chalii unaleta usolo mbona, wasafi imetokea piwa sasa, acha hizo njaro
 
Usiwaze sana bablai hiyo haikatoksi kwa wakuu afu yanini kubonga wakati chufuga inabonga yenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…