Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

Kwa kuwa ni wewe Ruta nitaamini. ngoja nimcheki PJ kwanza.
 
Hizi ni habarti njema. Maana wana Arusha wangemkata shingo kama angekubali mlungula wa fisadi Lowasa. Pia ingewakatisha tamaa wananchi kujiandikisha kupiga kura maana kura zao wangeona hazina maana tena.
 
Tahadhari, isijekuwa wametangaza hizo za ubunge halafu za Urais wamechakachua. Kagueni na hayo ya Urais pia!
 
lete data acha kuturusha roho tushachoka kurukaruka kwa majibu ya kufikirika...am sorry to say so
 
Mbona hapa nasikiliza hapa BBC wanasema bado hawatangaza.
 
bbc swahili,arusha mjini matokeo bado ila dalili chademe kachukua
 
Imebidi Nisogee mbali kidogo:::

Erick David wa BBC anasema muda sio mrefu matokeo yatatolewa :: sasa hivi ni saa 15h30 :: probably @ 16h00 mshindi atatangazwa rasmi!:doh:
 
hizi posts inabidi ziangaliwe sasa, mnakuja na story nyingiii za uongo na kutupa mzuka, then matokeo yanakuja tofauti
 
Kuna mdau yuko arusha ananiambia kuna hati hati ya kurudia kura na maduka ya wahindi uhuru road yamefungwa
 
Jamani eeeeeh! kuna habari nimezipata punde kuwa kule Mbulu na Hanang wanataka kuchakachua pls pls watu wa huko kuweni makini hii imetoka ndani ya mtandao wa kuaminika wa JK.

PIPOZ PAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…