"Tunayo kampeni inayoendelea ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya masuala ya nishati safi ya kupikia, kampeni ambayo inakwendaa kuokoa mazingira yetu, na ambayo sisi kwenye mji wa utalii tunatakiwa tuipigie chapuo zaidi kwa sababu utalii na mazingira vinaendana. Makundi mengi yameshirikishwa, walemavu, akinamama, vijana na makundi mengine yote, tulikuwa tumebakiza kundi hili la wazee."
"Wazee wote hawa kila mmoja nyumbani kwake ana jiko la gesi, lakini tukasema ni vizuri baada ya kampeni hii unapokwenda mwalimu kufundisha ni lazima upewe kitendea kazi na kwenye masuala ya nishati safi kitendea kazi ni jiko la gesi la kupikia, kwahiyo tumeona leo baada ya kumaliza mazungumzo yetu ya leo tutaweza kutoa jiko la gesi kwa kila mzee ili anapokwenda kule nyumbani akatusaidie kutoa elimu. Kila kata watu saba jumlisha na viongozi kwenye ngazi ya wilaya tukapata idadi yao 182, tutahakikisha watu wote 182 majiko hayo ya gesi yanawafikia mpaka walipo."
Nishato safi Ipi? Arusha ukizunguka kote mjiji kumejaa majiko ya mkaa zunguka Baa zote ni migahawa yote ni majiko ya mkaa. Hizi ni hadaaa za j
kuhadaa wajinga wa hili Taifa.
"Tunayo kampeni inayoendelea ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya masuala ya nishati safi ya kupikia, kampeni ambayo inakwendaa kuokoa mazingira yetu, na ambayo sisi kwenye mji wa utalii tunatakiwa tuipigie chapuo zaidi kwa sababu utalii na mazingira vinaendana. Makundi mengi yameshirikishwa, walemavu, akinamama, vijana na makundi mengine yote, tulikuwa tumebakiza kundi hili la wazee."
"Wazee wote hawa kila mmoja nyumbani kwake ana jiko la gesi, lakini tukasema ni vizuri baada ya kampeni hii unapokwenda mwalimu kufundisha ni lazima upewe kitendea kazi na kwenye masuala ya nishati safi kitendea kazi ni jiko la gesi la kupikia, kwahiyo tumeona leo baada ya kumaliza mazungumzo yetu ya leo tutaweza kutoa jiko la gesi kwa kila mzee ili anapokwenda kule nyumbani akatusaidie kutoa elimu. Kila kata watu saba jumlisha na viongozi kwenye ngazi ya wilaya tukapata idadi yao 182, tutahakikisha watu wote 182 majiko hayo ya gesi yanawafikia mpaka walipo."