ADC Party
Member
- Sep 14, 2020
- 28
- 29
Tunachimba madini hapa na kuuza nje,pesa imayopatikana kwa wachimbaji na serikali sio kubwa Kama tungekua na kiwanda cha kuprocess madini hapa kwetu, nikipata nafasi ya kuongoza nchi hii serikali ya ADC itajenga kiwanda kikubwa ili kuongeza thamani ya madini yetu tuuze kwa Bei kubwa zaidi kiwanda kitatoa ajira kwa watanzania kipaumbele kikiwa ajira kwa wananchi wa Arusha.
Kwa mji mkubwa na wa maarufu Kama Arusha ufungwajwi maduka ya kubadilishia fedha ni msiba mzito, wengi wamekosa ajira na maisha yamedorora na serikali imekosa mapato pia, ADC ikipata ridhaa ya watanzania itakwenda kufungua maduka hayo ili kurudisha ajira na mapato, pia itaweka utaratibu wa kuhakikisha miamala yote inajulikana na serikali katika katika taratibu za kibenki.
Mgombea amesema hayo alipotembelea na kusalimia wananchi na wafanyabiashara maeneo mbalimbali mkoani Arusha na soko kubwa la Kilombero na soko kuu
Mgombea pia alisimama kusalimia wananchi wa mji mdogo wa Himo mkoa wa Kilimanjaro akiwa njiani kuendelea na kampeni zake mkoa wa Tanga wilaya ya Handeni kesho.
Kwa mji mkubwa na wa maarufu Kama Arusha ufungwajwi maduka ya kubadilishia fedha ni msiba mzito, wengi wamekosa ajira na maisha yamedorora na serikali imekosa mapato pia, ADC ikipata ridhaa ya watanzania itakwenda kufungua maduka hayo ili kurudisha ajira na mapato, pia itaweka utaratibu wa kuhakikisha miamala yote inajulikana na serikali katika katika taratibu za kibenki.
Mgombea amesema hayo alipotembelea na kusalimia wananchi na wafanyabiashara maeneo mbalimbali mkoani Arusha na soko kubwa la Kilombero na soko kuu
Mgombea pia alisimama kusalimia wananchi wa mji mdogo wa Himo mkoa wa Kilimanjaro akiwa njiani kuendelea na kampeni zake mkoa wa Tanga wilaya ya Handeni kesho.