Arusha mjini VS Bukoba (Muleba)

Joined
Dec 28, 2015
Posts
69
Reaction score
149
Wanajukwaa habari za muda huu!
Anataka kuhamia Kagera(muleba) kutoka Arusha mjini.

Ni mfanyakazi wa serikali mambo ya mifugo na uvuvi, Yeye anaona akienda huko atapata fursa nyingi zaidi kulingana na kazi yake tofauti na hapa Arusha mjini.

Anataka akajiwekeze hasa kwenye ufugaji na uvuvi, je hapo muleba Kwa wenyeji panafaa?

Je fursa zingine za ziada ni zipi tofauti na yeye anazowaza? Nawasilisha karibuni Kwa ushauri.

Atasoma Kila ushauri maamuzi yatabaki kwake.
 
Badala useme ni wewe unaanza leta mambo za “atasoma ushauri wote mtakao mpa” wewe tembea zako ondoka mujini kama pamekushinda asee
 
Arusha hii ya wameru na ameshindwa kufuga?
Maana me naona watu huko wanafuga fuga na kulima kiasi.
Sasa yeye kashindwaje?

Huko BK ataenda kuwa mfugaji wa papuchi apigie katerero tu
Woiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…