Arusha ni mji mzuri kwa wapendanao, pazuri sana

Arusha ni mji mzuri kwa wapendanao, pazuri sana

Ray Money

Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
22
Reaction score
17
Arusha hali yake ya hewa inafaa sanaa tu kwa wale wapendanao, yaani ni fireeeeeee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305]

Jamani, kama unataka kwenda honeymoon, uende Arusha au kama unataka kwenda ku-refresh mind muende Aarusha coz hali ya hewa ya ubaridi ina connection na mamboz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hali ya hewa inaruhusu, siyo Dar. Ni Arusha, Mbeya na Njombe, yaani raha tuuuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom