sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,491
Habari wadau,
Zoezi la kuhamisha wamachinga waliokuwa wameziba njia za watembea kwa miguu lilifanyika kwa malengo mengi ikiwa ni pamoja na watembea kwa miguu kupata njia za kupita. Wenye magari nao walikuwa walalamikaji wakubwa juu ya kero hiyo ya wamachinga kuziba barabara.
Baada ya zoezi la kuwaondoa wamachinga kwenye njia za waenda kwa miguu, njia hizo zimegeuzwa sehemu za kuegesha magari kama inavyoonekana kwenye picha.
Hili ni kwa hapa Arusha sijui mikoa mingine kama DSM na Mwanza. Tuseme hii nchi Sasa kila mmoja anajifanyia anavyotaka, hakuna Sheria ama mtu akiona fursa anaitumia kikamilifu. Nafikiri malmaka husika zilifanyie kazi jambo hili.
#hakiza#watembea#kwamiguu#
Zoezi la kuhamisha wamachinga waliokuwa wameziba njia za watembea kwa miguu lilifanyika kwa malengo mengi ikiwa ni pamoja na watembea kwa miguu kupata njia za kupita. Wenye magari nao walikuwa walalamikaji wakubwa juu ya kero hiyo ya wamachinga kuziba barabara.
Baada ya zoezi la kuwaondoa wamachinga kwenye njia za waenda kwa miguu, njia hizo zimegeuzwa sehemu za kuegesha magari kama inavyoonekana kwenye picha.
Hili ni kwa hapa Arusha sijui mikoa mingine kama DSM na Mwanza. Tuseme hii nchi Sasa kila mmoja anajifanyia anavyotaka, hakuna Sheria ama mtu akiona fursa anaitumia kikamilifu. Nafikiri malmaka husika zilifanyie kazi jambo hili.
#hakiza#watembea#kwamiguu#