ARUSHA.......... Ntarudi tena wallah!!!!!

Babu hebu fafanua hiyo bar hapo kwenye bold!!<img src="images/smilies/coffee.gif" border="0" alt="" title="Coffee" smilieid="47" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Ni bar moja maarufu mjini Arusha ina sifa ya wahudumu waliojaaliwa mtk
 
Waneniudhi hawajakupeleka kwa nicky, ukale misamaki ya foil loooo

Shantel bana,..kwa nicky wengi hawakufahamu,anyway ni sehem nzuri na hata misamaki iko poa
 
usichoelewa nini sasa?.....anyway_Mtoni Temeke Kuzuri Bar,...ipo maeneo ya mianzini,..totoz za kuhudimia ziko
poa


hahahahahaaaaaaaaaaaa
igwe umenifurahisha hapo kwenye tafsiri dah
 
Waneniudhi hawajakupeleka kwa nicky, ukale misamaki ya foil loooo
Walinambia wamekuachia wewe unipeleke.... ila nshaanza kukuogopa kuna limjamaa huku linakumendea vibaya wewe na mjukuu wangu mtiifu mj1. Mkipata mimba muishie hukohuko....
 
wewe unakuja lini Arusha?

wageni wakiwa wengi itakuwa ni furugu bana,...ngoja inabidi tuweke limit ya wageni wa kutembelea arusha kwa kila mwaka,...wahamiaji wakiwa wengi watachukua nafasi zetu za ajira,...by the way nawapenda wote
 
wageni wakiwa wengi itakuwa ni furugu bana,...ngoja inabidi tuweke limit ya wageni wa kutembelea arusha kwa kila mwaka,...wahamiaji wakiwa wengi watachukua nafasi zetu za ajira,...by the way nawapenda wote
Khaa...... hatuitaji ajira Arusha..... kina Lily Flower wanatutosha mbona?
 
Waneniudhi hawajakupeleka kwa nicky, ukale misamaki ya foil loooo

vijana wa zamani hawajazoea kula samaki wanaogopa kuchumwa na miba......kumbuka macho kwishney....... wanapenda kula mioyo na maini ya Mbuzi
 
Walinambia wamekuachia wewe unipeleke.... ila nshaanza kukuogopa kuna limjamaa huku linakumendea vibaya wewe na mjukuu wangu mtiifu mj1. Mkipata mimba muishie hukohuko....
Usihofu babu, vigezo na masharti kuzingatiwa
 
vijana wa zamani hawajazoea kula samaki wanaogopa kuchumwa na miba......kumbuka macho kwishney....... wanapenda kula mioyo na maini ya Mbuzi
Hahahaha mioyo ya mbuzi kwa mromboo.........khaaaa!
 
vijana wa zamani hawajazoea kula samaki wanaogopa kuchumwa na miba......kumbuka macho kwishney....... wanapenda kula mioyo na maini ya Mbuzi
Na ile mikuku, pia kwa pop khan mlimpeleka ile mambo ya kihindi
 
Usihofu babu, vigezo na masharti kuzingatiwa
We shauri yako......... usisahau malaria haikubaliki. Lile limjamaa likikuPM ukajibu PM yake tayari mimba ya mapacha....... hebu njoo huku nikupime kama bado......
 
wageni wakiwa wengi itakuwa ni furugu bana,...ngoja inabidi tuweke limit ya wageni wa kutembelea arusha kwa kila mwaka,...wahamiaji wakiwa wengi watachukua nafasi zetu za ajira,...by the way nawapenda wote

wageni ni muhimu....hasa Samora10........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…