Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mzima kabisaa! Halafu nimekumiss ujue! Arusha na mie ntaenda bana! Halafu sijui nikunong'oneze
Hivi ni wapi huko? Hakuna masharti na vigezo vya kuzingatia?Babu karibu na mwetu bana
Nenda Arusha ukakunwe.........Wivu unaniwasha aisee.
Niliishiwa mafuta....... si kosa langu, Ngeleja huyo. Siku nyingine nikija ntakudipu......Ehhh Babu kweli siku hizi una roho mbaya yaani umefika Arusha ukashindwa kuja kuniona Karatu??? siamini
Imebaki historia......Dah... mzee wa memkwa nimebaki man alone.... itabidi nikodi jeshi niende huko wikendi moja kabla ya mwisho wa dunia
Usithubutu kukutwa.......Yaani hao warembo wote kumbe wanapatikana Arusha!? Dah! Itabidi nifunge safari rasmi ya kwenda Arusha, nianzie Moshi kwanza kwa Nyamayao laazizi, namchukua twaenda wote Arusha.
Safari hii itakuwa imedhaminiwa na TBL, Konyagi, SBL, Heineken na Chibuku.
Hahahahahaha khaaa!Ila tu wanaarusha kuna member mmoja alikuja huko ametoa mapicha ya khatari sana kwenye jukwaa la wakubwa, i hope hayahusiani kabisa na Arusha MMU
Au siyo?
Mwenyeji wa likizi ya miezi mitatu........ kwa hisani ya blaki womaniHTML:
Yaani, siku zote najua wewe ni mwenyeji.
AmenGod Bless
Hapana, mi ni mjamaa kama Nyerere..... Sharing is Caring hommie........<br />
<br />
Ukabaila huu sasa ODM!
Mpwa naona umeamua kuulizia meno mdomoni......Ulipata vitu adimu vinavyo kosekana usalule?
Niambie kwa kingledha, vinginevyo sikuji......ODM karibu tena...
Viza zinapatikana kwa ODM pekee......... vigezo na masharti kuzingatiwa........Masharti na kanuni za JF ni yeye mwenyewe kwenda huko Arusha ili akapate ufafanuzi.
Nikipata nauli, ntakuwa mgeni wako........ martenity leave ishaisha? Siku nyingine utumie kondom, sawa?Karibu tena babu ingawa hukunitafuta..
Ile ban nlojipiga,
Nkaenda zangu Arusha,
Nkakutana na Preta,
Sweetlady Wiselady,
Lily Flower na nani?
Blaki Womani mweupe
Arusha ntarudi tena walah........
Nikanywa na PakaJimmy
Liverpool na Filipo,
Mzee Wa Rula Pembeni
Voice of Reason ikaja
Na mwingine nani tena? Hivi nimesema binamu?
MTK bar na Mianzini
RIP Makaburini,
Shivaz na Picnickini
Kijenge Kaizarini
Kwa Mromboo hatarini.....
Na kwingine wapi tena? Sijasema tripo Ei?
Nikilila tena ban. nikapata na nauli,
Kamwe siendi nyumbani, na kitandani silali.
Arusha nitarudi, nrarudi tena wallah.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mungu ibariki Arusha.
Wabariki na watu wake.
Amina.
ODM anarudi kitandani kuzimua
Mkuu, hivi huyu jamaa yupo wapi siku hizi???Nikikamata raba mtoni ya klorokwini..... ODM atakuwa mgeni wa Preta....... Nikikosa rabamtoni ntaazima makubazi ya Bigirita then Blakiwoman atakuwa mwenyeji wangu. Kama vipi niazime zile mokasini zako nikabembee na Liliflawa au Switiledi........
Hahahahah we ni noumaaa....... we wakati uko bize na Lema, sie tulikuwa twajichana kwa mromboo....We kaa huko huko! Tangu umeondoka Ar, na Blaki amepotea kabisa. Kwahiyo ukitia timu tu mjini, unaishia "kisongo" maana una kesi ya kujibu!
Ngoja nicheki na mazandu ndo alikuwa na contacts zake. Afu ntakupigia.....Mkuu, hivi huyu jamaa yupo wapi siku hizi???
nimem-miss sana bana!!!!
mwambieni aniPM basi!
Hahahahah we ni noumaaa....... we wakati uko bize na Lema, sie tulikuwa twajichana kwa mromboo....
Ngoja nicheki na mazandu ndo alikuwa na contacts zake. Afu ntakupigia.....
tehe tehe the Arusha nitarudi tena!
Upo juu hadi Nicky Pub kote umevuruga, karibu saanaaa ule misamkai hiyo ya kwenye foili.Waneniudhi hawajakupeleka kwa nicky, ukale misamaki ya foil loooo
Una ushahidi wa kutosha usije kuwa kama Pinda tehe tehe tehe. Black Woman yupo bana ni wewe tu, mpigie kwa 0147585258 utampata.We kaa huko huko! Tangu umeondoka Ar, na Blaki amepotea kabisa. Kwahiyo ukitia timu tu mjini, unaishia "kisongo" maana una kesi ya kujibu!
Mzee hiyo namba ya loliondo nini kule kwa babuUna ushahidi wa kutosha usije kuwa kama Pinda tehe tehe tehe. Black Woman yupo bana ni wewe tu, mpigie kwa 0147585258 utampata.
Tehe tehe tehe tehe, umejuaje BlackBerry! Daaaah nitaanza kukuogopa kwa kubashiri.Mzee hiyo namba ya loliondo nini kule kwa babu
Ukija utujuze tu huku Arusha tunatembea na daktari wetu hivyo hali ya hewa isikupe shida wewe jipange tu.babilon na bougaloo mlimpeka? babilon achaaaaaa bana, ni balaa...weather tu ya arusha inanishinda ila???? na mie nitarudi tena
yaani hata ukiupara vipi kazi bure juu unatia mkoti, hapotuUkija utujuze tu huku Arusha tunatembea na daktari wetu hivyo hali ya hewa isikupe shida wewe jipange tu.