Alikuja akatukuta ndo tunataka kwenda wilayani.. Alivyo na kauli mbaya Akasema Tumeweka Genge la Wahuni.. Sasa ni nani ataweza kuongea na m2 anaetuita wahuni..
poleni sana! Siku nyingine mjigawe makundi 3,kundi la kwanza linapita barabara kuu,la pili mnapitia boda la bashay kuna chochoro la kutokea town,kundi la tatu mnapitia shamba la shanglai! Kwa idadi ndogo ya askari mtafanikiwa kufikisha ujumbe!