Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
<br /><br />Kurasini SDA kabla ya TV na Teknolojia kuenea hawa jamaa walionekana wakali sana. Sasa ndo tunajua janja yao kumbe nyimbo zao nyingi walikuwa wanachukua nyimbo za kiingereza za Wasabato huko Ulaya, Zimbabwe, na Marekani na kuzitafsiri na kuziimba kwa kiswahili. <br /><br />
<br /><br />
Kwa hiyo kama ni uimbaji tuwasifu kwa kuweza kugezea vizuri
<br />Kurasini SDA kabla ya TV na Teknolojia kuenea hawa jamaa walionekana wakali sana. Sasa ndo tunajua janja yao kumbe nyimbo zao nyingi walikuwa wanachukua nyimbo za kiingereza za Wasabato huko Ulaya, Zimbabwe, na Marekani na kuzitafsiri na kuziimba kwa kiswahili. <br />
<br />
Kwa hiyo kama ni uimbaji tuwasifu kwa kuweza kugezea vizuri