Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
hellow ladies and gentlemen.,
kwa hali navyoendelea sasa katika mji wa Arusha, nahisi amani kwa wafanyabiashara haipo tena!
mfululizo wa matukio ya mauaji ya kupigwa risasi kwa wafanyabiashara mbalimbali yananitisha sana aisee!!
mwenzenu nilikuwa na mpangowa kuanza biashara ndogo ndogo za kununua madini na kuyauza! lakini kwa jinsi ninavyoona upepo unavyoenda ndani ya huu mji, kwa kweli sina hamu!
usalama wa wafanyabiashara ni mdogo mno! serikali yenyewe naona kama imejiziba macho vile!!?
na hata kwa upande wa maisha ya kawaida, sidhani kama kuna usalama jamani!! please naombeni mnitoe hofu juu ya hili!
hali ya maisha ikoje huko?
wana arusha sijui mnalichukuliaje suala hili katika mji wenu!!
kwa hali navyoendelea sasa katika mji wa Arusha, nahisi amani kwa wafanyabiashara haipo tena!
mfululizo wa matukio ya mauaji ya kupigwa risasi kwa wafanyabiashara mbalimbali yananitisha sana aisee!!
mwenzenu nilikuwa na mpangowa kuanza biashara ndogo ndogo za kununua madini na kuyauza! lakini kwa jinsi ninavyoona upepo unavyoenda ndani ya huu mji, kwa kweli sina hamu!
usalama wa wafanyabiashara ni mdogo mno! serikali yenyewe naona kama imejiziba macho vile!!?
na hata kwa upande wa maisha ya kawaida, sidhani kama kuna usalama jamani!! please naombeni mnitoe hofu juu ya hili!
hali ya maisha ikoje huko?
wana arusha sijui mnalichukuliaje suala hili katika mji wenu!!