Arusha: usiri wa ukusanyaji wa maoni ya katiba wa nini?

Arusha: usiri wa ukusanyaji wa maoni ya katiba wa nini?

yegella

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
3,113
Reaction score
1,102
kuna mtu ameniambia leo ni siku ya nne tume ya ukusanyaji wa maoni ya katiba iko jijini Arusha lakini wamekuwa hawa tangazii watu sasa mimi najiuliza usiri huu wa nini nani anafaidika kwa kutokuwatangazia wananchi, mbona wakija ze komedi tuna tangaziwa kwa kila namna iweje kwenye swala hili nyeti linakuwa kimya kimya..
 
Acha ubwege ww, wewe umesikiaje na wengine wasisikie, vyombo vya habari vilitangaza ratiba ya tume mkoani Arusha na weo's na veo's wanataarifa, ww pimbi maji unaleta hadithi za kaskazini hapa.subiri mikutano ya lema utaisikia!
 
Hata mm niliwasikia kwa mbali walitangaza ila hawakuweka msisitizo kama matangazo ya mechi ya stars
 
Back
Top Bottom